Monday 22 August 2016

Kilimanjaro Express

           Wanaitwa Kilimanjaro Express ama Wasafi kama inavujulikana kwa Wanazi wa timu Ningekuwa (Onni Sigalla- Mhariri wa Kiswahili) Ningeiita Timu hii Nguli wa huduma zilizobobea na zilizotukuka kwa kanda ya Kaskazini: Yaani Arusha, Moshi pamoja na Viunga vyake

Ni kampuni yenye uweledi wa hali juu katika sekta hii ya usafirishaji, ikisafirisha Abiria salama na raha mustarehe.

Ni moja ya kampuni chache zenye Terminal(stand) yake ya kisasa na Hotel kwa ajili ya abiria hao. Hao ndio wasafi.

Hizi ndio series za bus zao.
                        
A SERIES

1.T893 APD
2.T895 APD
3.T983 AWY
4.T987 AWY
5.T839 AXR
6.T855 AXR
7.T540 AQK
8.T639AQN
9.T832ASM
10.T491 ARB


B SERIES YUSCANIA

11.T545 BHY
12.T546 BHY
13.T809 BGZ
14.T814 BGZ
15.T871 BVA
16.T860 BVA

D  SERIES

17.T804 DDB
18.T805 DDB
19.T705 DGQ
20T706 DGQ
21.T708 DGQ
22.T709 DGQ
           Stay Tuned Kuna chuma kali za kisasa, luxury na kila kitu toka kwa madiba South Africa Soon Zitaingia Tanzania.

Viva KLM Wasafiiiiii









No comments:

Post a Comment