Tuesday 15 November 2016

OTA HIGH CLASS


Kampuni ya Ota High Class inawatanazia wateja wake wote.

Kuanzia : Jumatano 16/11/2016.

Tunaanza ruti mpya ya Dar to Mbinga via Masasi bila kusahau Songea.

Kila siku saa 12:00.

Karibu Ota kwa Safari salama na za uhakika 

Follow us On Instagram  




Baada ya kimya cha miezi kadhaa, Wametoka kifungoni sasa wanarudi tena ni OTA HIGH CLASS

Kwa safari za :

      Dar - Bukoba.


Bukoba stays tuned, The King is Back.

No comments:

Post a Comment