Tuesday 15 November 2016

OTA HIGH CLASS


Kampuni ya Ota High Class inawatanazia wateja wake wote.

Kuanzia : Jumatano 16/11/2016.

Tunaanza ruti mpya ya Dar to Mbinga via Masasi bila kusahau Songea.

Kila siku saa 12:00.

Karibu Ota kwa Safari salama na za uhakika 

Follow us On Instagram  




Baada ya kimya cha miezi kadhaa, Wametoka kifungoni sasa wanarudi tena ni OTA HIGH CLASS

Kwa safari za :

      Dar - Bukoba.


Bukoba stays tuned, The King is Back.

Breaking News

Super Feo

Hivi karibuni basi mpya za Super Feo zitaingia Nchini , Tayari zimepakiwa kwenye meli

Modeli ya bus ni Yutong F12 plus








___________________________________________________________________________________


Basi la kampuni ya Senkenke T 845 CKC, Limepata ajali maeneo ya kwa Makunganya nje kidogo ya mji wa Morogoro. Leo asubuhi 15/11/2016

Mpaka habari zinatufikia inasemekana aliefariki ni mmoja (1). Majeruhi zaidi ya (10).

Chanzo cha ajali pia kulingana na mashuhuda wanasema ni mwendo kasi wa basi ndio uliosababisha basi kupinduka

Bado tunafuatilia taarifa kwa undani tutaendelea kuwajuza kadri tupatavyo taarifa.

Mungu zilaze pema roho za marehemu na awajaalie kupona haraka Majeruhi.





Picha na TBB .

Monday 14 November 2016

BM LUXURY


BM_LUXURY_COACH

UBUNGO BT OFFICE no_15.
 Contact us: 0714029811
                    0655816675,
                    0716254000
Morogoro-Dar 
Morogoro-Arusha 
Dar-Turiani(via moro) 
Arusha-Turiani (via handeni)

Follow us on Instagram  






 

Wednesday 26 October 2016

Mpya

katika kuhakikiksha abiria wake wanapata huduma za kisasa na kwa uweledi wa hali ya juu kampuni ya SUPER FEO na BM wameleta bus mpya ambazo zitaanza ruti hivi karibuni.


Thursday 20 October 2016

Super Feo


Super.Feo.Express


Kampuni ya usafirisha abiria&mizigo The Pride Of Southern 
Dar office +255-657571820 
Songea Office +255 658 228384 
Whatsapp picha +255-715 225393

Kwa Ruti za:

       Dar - Songea
       Morogoro - Songea
       Dodoma - Songea
       Mbeya - Songea
       Mbeya - Mbinga
       Sumbawanga - Tunduma - songea n.k.              


Tarehe 23/10/2013. Kampuni ya SUPER FEO wanafungua ruti mpya ya Songea-Masasi-Lindi-Dar.
Karibu Feo .

Super Sami

Wana Mwanza stay Tuned, Super Sami hivi karibuni atatoa vitu vipya. Zhongthong Climber 3 Mpya

Mwanza Dar mambo yameiva.




 Picha na : Vikta TBB

MEMENTO

Kahama pamekuwa moto, Mgeni mwingine huyu anakuja Anaitwa Memento

Kahama Dar. Kazi safi ya local Fabricators wetu.

Kahama kutakuwa na kampuni hizi :


  • Kisbo
  • Wibonela
  • City Boy
  • Dar Lux
  • leo luxury
  • Rungwe
  • Dar Lux
  • Fahari
  • Rungwe                    






    Picha na: Robert Tbb




     Inasemekana Memento ameshindwa kupeleka gari Kahama, Kwani mahitaji ya ya Kahama unatakiwa kuwa na gari 4. Kwa sasa kampuni inafanya kazi DAR - SINGIDA akipambana na.
    •    Abc
    • Jm Luxury
    • Shabiby
    • Kaprikon
    • Imo
    • Tashrif

    Akiwa Anaingia Msamvu siku ya tarehe 14/10/2016

Wednesday 5 October 2016

Trinity

Mgeni huyu kwa safari za Dar kigali kupitia kahama.

    seat  2*2
    Legroom kubwa.
    Nauli ya kijasiriamali.
  
Yutong f12 swafi , hatuna haraka mteja kwetuni zaid ya huyo Mfalme.



Monday 3 October 2016

Abood Bus service

KING OF THE ROAD.

Wajuzi wa mambo humuita king of the road mbabe wa enzi za Babu mpaka wajukuu tunamkubali.

Kwa ruti za :
           


  • Dar - Mbeya
  • Dar - Morogoro
  • Dar - Iringa
  • Dar - Tunduma
  • Morogoro - Arusha. 

Safiri na Abood KING OF THE ROAD kwa siti za 2*2 na  3*2, Kiyoyozi, na safari za uhakika.

Mawasiliano :

 P.o. Box 127

Tel : 0788 247857
        0748 679900 - Morogoro

        0754 272599
        0713 323030- Dar

        0754 993954 - Mbeya







Tuesday 27 September 2016

Mghamba Express

Mghamba Express Mfalme wa Kaskazini, Mbabe wa Kaskazini, Kwa ruti za :

  •  Mwanza-Moshi
  • Mwanza-Arusha
  • Moshi-Geita
  • Arusha-Kahama
Safiri na Mghamba Express kwa uhakika usalama na mustarehe zaidi, Mghamba wanakupa option ya kibabe 3*2 , na sukari ya warembo ama luxury 2*2

Kwa Booking na mawasiliano 0752 0209065.




Wednesday 21 September 2016

Melkidezeki

Kwa safari za Dar na Kyela kila siku safiri na Melkidezeki Lux liner kwa safari ya uhakika na salama

From City to Boarder na Melkidezeki luxliner





Monday 19 September 2016

Dar Lux

Leo Asubuhi safari iliishia Mataa ya kibo baada ya Struggle line, Kumgonga dar Lux nyuma

Picha na Brian Tbb

Thursday 15 September 2016

FM Safari

IN SCANIA I TRUST.

FM Safari anaendelea kujizatiti ruti ya Mbeya-Dar, Hivi karibuni ametoa kitu kipya, Kutoka dar Coach, Mbeya twaja.




Picha na Dar Coach Facebook Page